Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Msimu mpya wa ligi kuu ya soka barani Ulaya waanza

Imechapishwa:

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa ligi kuu ya soka nchini Uingereza na mataifa kadhaa ya Ulaya,  uchambuzi wa Kombe la dunia la wanawake katika mchezo wa soka, fainali za ngao ya jamii  katika mchezo wa soka Afrika Mashariki na mashindano ya shule za Sekondari nchini Kenya na michuano ya kufuzu kushiriki taji la klabu bingwa barani Afrika kwa upande wa wanawake, miongoni mwa mengine.

Ligi kuu ya soka nchini Uingereza
Ligi kuu ya soka nchini Uingereza © AFP - ADRIAN DENNIS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.