Jukwaa la Michezo
Faith Kipyegon aweka historia mashindano ya riadha ya dunia 2023
Imechapishwa:
Cheza - 23:54
Faith Kipyegon ameishindia Kenya medali mbili za dhahabu katika mbio za mitaa 1500 na 5000 katika mashindano ya riadha ya dunia, katika jiji la Budapest nchini Hungary. Tunajadli hili na mengine mengi yanayotokea viwanjani wiki hii.