Jukwaa la Michezo
Mkenya Eliud Kipchoge ashinda tena taji la Berlin Marathon
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na mwanariadha kutoka Kenya, Eliud Kipchoge kushinda mashindano ya riadha ya Berlin Marathon kwa mara ya tano, Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya Rwanda, asimamishwa kazi ni miongoni mwa mengine mengi yanayotokea viwanjani.