Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Messi ashinda tuzo ya Ballon d'Or tena

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tunayojadili ni pamoja na tuzo za wachezaji bora barani Afrika mwaka huu katika mchezo wa soka, timu ya taifa ya Uganda Cranes kupata kocha mpya, mechi za soka kufuzu michezo ya Olimpiki Paris 2024 miongoni mwa wanawake, Lionel Messi kushinda tuzo ya nane la Ballon d'Or, miongoni mwa mengine.

Lionel Messi mshindi wa tuzo ya  Ballon d'Or 2023.
Lionel Messi mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or 2023. AFP - FRANCK FIFE
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.