Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Mashindano ya Kimataifa ya Tong-Il-Moo-Do yafanyika nchini Kenya

Imechapishwa:

Kenya yaandaa makala ya 11 ya michuano ya kimataifa ya mchezo wa Tong-Il-Moo-Do jijini Mombasa. Uganda ndio washindi wa CECAFA katika mechi za kufuzu kwa michuano ya CAF ya Shule za Afrika. Al Ahly waishinda Al-Ittihad kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu Kisha Paris Saint - Germain yatinga hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa.

Mashindano yaliyopita ya Tong-Il-Moo-Do jijini Mombasa
Mashindano yaliyopita ya Tong-Il-Moo-Do jijini Mombasa © https://www.tongilmoodokenya.com/
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.