Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Kenya yaibuka bingwa wa mashindano ya Tong Il Moo Do

Imechapishwa:

Tuliyokuandalia ni pamoja na Kenya kuhifadhi taji lake la Tong Il Moo Do kwa mara ya 11, mkenya Angella Okutoyi ashinda dhahabu mbili kwenye tenisi ya kimataifa ya W25, uchambuzi wa matokeo ya mechi za Klabu bingwa Afrika wiki hii, Man City kutwaa ubingwa wa Kombe la Klabu bingwa Duniani kwa mara ya kwanza na Mahakama ya Ulaya kupinga uamuzi wa FIFA na UEFA kuzuia kuanzishwa kwa Ligi mpya ya Ulaya kuwa kinyume na sheria. 

Rais wa shirikisho la Tong Il Moo Do nchini Kenya na barani Afrika, Clarence Mwakio
Rais wa shirikisho la Tong Il Moo Do nchini Kenya na barani Afrika, Clarence Mwakio © Kenya Tong Il Moo Do Federation media
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.