Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

CAF yaongeza kiwango cha fedha kwa mshindi wa AFCON 2024

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa  Shirikisho la soka barani Afrika CAF kuongeza kiwango cha fedha kwa mshindi wa michuano ya AFCON, itakayoanza Januari 13 nchini Cote Dvoire,  Bondia wa DRC Martin Bakole aomba mchango wa fedha kushiriki mechi za mkanda wa WBA, matokeo ya Mapinduzi Cup na kombe la Amani visiwani Zanzibar na Brazil yamfuta kazi kocha Fernando Diniz.

Kombe la AFCON 2024
Kombe la AFCON 2024 © AFP - ISSOUF SANOGO
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.