Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

AFCON 2024: Michuano ya hatua ya 16 bora kuanza

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na michuano ya hatua ya 16 kuwania taji la soka kwa mataifa ya bara Afrika. Mashindano ya mchezo wa mikono bara Afrika yanayoendelea kule Misri na Aryna Sabalenka  kushinda mashindano ya Australian Open kwa upande wa wanawake.

Nigeria imepata ushindi dhidi ya Ivory Coast
Nigeria imepata ushindi dhidi ya Ivory Coast AP - Sunday Alamba
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.