Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

AFCON 2024: DRC na Nigeria zatinga hatua ya nusu fainali

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na taifa la DR Congo pamoja na Nigeria kufuzu kwa hatua ya nusu fainali katika michuano ya  kuwania taji la soka kwa mataifa ya bara Afrika. Dereva wa magari ya langalanga Lewis Hamilton kuhamia katika timu ya Ferrari kutoka Mercedes mwaka 2025.

Le sélectionneur de la RDC, Sébastien Desabre, célèbre avec ses joueurs la victoire obtenue à Abidjan contre la Guinée, vendredi 2 février 2024.
Le sélectionneur de la RDC, Sébastien Desabre, célèbre avec ses joueurs la victoire obtenue à Abidjan contre la Guinée, vendredi 2 février 2024. © Pierre René-Worms, RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.