Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Ndondi : Anthony Joshua amshinda Francis Ngannou katika raundi ya pili

Imechapishwa:

Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kushindwa kwa mwana masumbwi Francis Ngannou na Anthony Joshua,kuanza kwa mashindano ya 13 ya bara Afrika nchini Ghana pamoja na Paris Saint Germain kufuzu katika robo fainali michuano ya klabu bingwa barani ulaya.

Anthony Joshua a mis KO Francis Ngannou dès le deuxième round à Riyad, le 9 mars 2024.
Anthony Joshua a mis KO Francis Ngannou dès le deuxième round à Riyad, le 9 mars 2024. © Andrew Couldridge / REUTERS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.