Jukwaa la Michezo
Ndondi : Anthony Joshua amshinda Francis Ngannou katika raundi ya pili
Imechapishwa:
Cheza - 24:04
Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kushindwa kwa mwana masumbwi Francis Ngannou na Anthony Joshua,kuanza kwa mashindano ya 13 ya bara Afrika nchini Ghana pamoja na Paris Saint Germain kufuzu katika robo fainali michuano ya klabu bingwa barani ulaya.