Nyumba ya Sanaa
Ambwene Mwasongwe Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Ambwene Mwasongwe ni Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania, aliyejizolea umaarufu kutokana na nyimbo zilizojaa simulizi za Maisha na kubadili mitizamo kuhusu Maisha, Ungana na Steven Mumbi anazungumza na Muimbaji huyo.