UKWELI AU UONGO
Picha ya wezi wa mifugo nchini Uganda inadaiwa kuwa ya wafuasi wa imani potofu Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 10:04
Tuangazia picha moja iliyonaswa nchini Uganda ikionyesha watu waliodhoofika kiafya na inasambazwa nchini Kenya ikihusishwa ni wafuasi wa dhehebu moja pwani ya nchi hiyo.