Nyumba ya Sanaa
Nuni Imam Suleiman ni msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 20:10
Anasema wizi wa kazi za sanaa unawarudisha nyuma wasanii na hivyo kuathiri kazi zao.Ungana na Steven Mumbi katika makala ya nyumba ya sanaa akizungumza na msanii huyo.