Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Uelekeo wa Zimbabwe baada ya uchaguzi

Imechapishwa:

Makala ya Wimbi la siasa juma hili inaangazia uelekeo wa Zimbabwe baada ya matokeo ya uchaguzi..dunia nzima imeelekeza macho na masikio nchini humo kushuhudia nini Wazimbabwe wameamua safari hii katika sanduku la kura...!

Morgan Tsvangirai, Waziri mkuu wa Zimbabwe ambaye anamaliza muda wake katika serikali ya umoja wa kitaifa.
Morgan Tsvangirai, Waziri mkuu wa Zimbabwe ambaye anamaliza muda wake katika serikali ya umoja wa kitaifa. REUTERS/Philimon Bulawayo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.