Wimbi la Siasa
Rais wa Tanzania aapishwa na kuapa kuwashughulia wala rushwa
Imechapishwa:
Cheza - 09:54
Dk. John Pombe Magufuli hivi karibuni aliapishwa kuwa Rais Wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kushinda uchaguzi wa Oktoba 25, 2015. Dk. Magufuli amechukuwa rasmi nafasi hiyo baada ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kumaliza muda wake na kuondoka madarakani. Ungana na Victor Robert Wile katika makala ya Wimbi la Siasa.....