Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Rais amtaka Mugabe aachie ngazi

Imechapishwa:

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ametakiwa kuachia ngazi kwa kuwa amekaa muda mrefu madarakani ili kutoa nafasi kwa viongozi wengine na kuachana na dhana ya uchu wa madaraka. Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kujua undani wa mada hiyo.

Robert Mugabe, rais wa Zimbabwe
Robert Mugabe, rais wa Zimbabwe Reuters/Philimon Bulawayo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.