Syndicate content
Bashar Al Assad
13/03/2013 - SYRIA

Watoto wanaotumikishwa kijeshi kwenye mapigano ya Syria waongezeka

Shirika la misaada la Uingereza limesema idadi ya watoto wanatumikishwa kwenye mapigano nchini Syria imekuwa ikiongezeka kadri siku zinavyokwenda.

07/03/2013 - SYRIA

Majadiliano juu ya kuachiwa kwa walinda amani wa UN waliotekwa Syria yaendelea

Maofisa wa Umoja wa Mataifa UN wamesema majadiliano yanaendelea kati yao na waasi wa Syria waliowateka walinda amani ishirini na moja wa UN kwenye eneo la Golan katika mpaka wa Syria na Israel.

Rais wa Syria Bashar al Assad
05/03/2013 - SYRIA

Assad atamba kubaini njama dhidi ya serikali yake

Rais wa Syria Bashar Al Assad amesema kuwa serikali yake imeshinda njama zilizopangwa dhidi yake hata wakati huu ambapo waasi wamevamia mji mkuu wa jimbo la Raqa na kumteka gavana wake katika ...

Raisi wa Syria,Bashar Al Assad ambaye majeshi yake yanaendeleza mapambano dhidi ya makundi mbalimbali yanayopinga utawala wake nchini humo.
23/02/2013 - SYRIA

Muungano wa upinzani nchini Syria walaani ukimya wa mataifa juu ya mauaji yanayoendelea

Muungano wa Upinzani nchini Syria umelaani ukimya wa mataifa katika kushughulikia suala la kupinga mauaji ya raia nchini humo katika kipindi hiki cha mapambano baina ya makundi hasimu nchini ...

Mabaki ya magari yaliyosababishwa na mlipuko wa bomu uliotekelezwa katika Jiji la Damascus, Syria
22/02/2013 - SYRIA

Damascus yakumbwa na shambulizi baya zaidi tangu kuanza kwa vita vilivyodumu kwa miezi 24 sasa

Shambulizi mbaya zaidi kutokea nchini Syria katika Mji Mkuu Damascus tangu kuanza kwa vita karibu miezi 24 limesababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kufikia 60 na kuongeza hofu ya usalama katika ...

Shambulizi la Bomu la Kujitoa Mhanga lililotekelezwa Jiji Damacus na kusababisha vifo vya watu 31
21/02/2013 - SYRIA

Watu 31 wapoteza maisha nchini Syria baada ya bomu lililotegwa kwenye gari kulipuka katika Jiji la Damascus

Shambulizi la kujitoa mhanga lililotekelezwa nchini Syria limesababisha watu 31 kupoteza maisha baada ya bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari kulipuka katika Jiji la Damascus karibu na Makao ...

Jiji la Aleppo linavyoonekana baada ya machafuko ya miezi 23 nchini Syria baina Serikali na Upinzani
21/02/2013 - SYRIA-URUSI

Urusi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zataka mazungumzo ya ana kwa ana baina ya Serikali ya Syria na Upinzani

Serikali ya Urusi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimesema zinahitaji kufanyika kwa mazungumzo ya ana kwa ana kati ya Serikali ya Syria na Viongozi wa Upinzani lengo likiwa ni kumaliza umwagaji wa ...

Mashambulizi yanayoendelea nchini Syria yamesababisha uharibifu pamoja na maelfu ya wananchi kuomba hifadhi wa ukimbizi katika nchi jirani
20/02/2013 - SYRIA

Umoja wa Mataifa UN watoa onyo hali ya Kibinadamu nchini Syria yazidi kuwa mbaya na misaada zaidi inahitajika

Umoja wa Mataifa UN umetoa onyo kwamba kama hatua madhubuti hazitachukuliwa kuna kila dalili hali ya kibinadamu nchini Syria ikazidi kuwa mbaya zaidi kipindi hiki ambacho watu milioni nne ...

Rais wa Syria Bashar Al Assad ametangaza Wanajeshi wake watashinda vita dhidi ya Wapinzani
19/02/2013 - SYRIA

Rais wa Syria Bashar Al Assad atamba Majeshi yake yatashinda kwenye Vita dhidi ya Wapinzani

Rais wa Syria Bashar Al Assad amerejea tena kauli yake ya kwamba ana uhakiki vikosi tiifu kwa Utawala wake vitashinda kwenye vita ambayo inaendelea dhidi ya upinzani unaotaka kumng'oa madarakani ...

Athari ambazo zimetokana na mapigano yanayoendelea nchini Syria yakihusisha serikali na upinzani
18/02/2013 - SYRIA

Pande zinazohasimiana nchini Syria zote zatuhumiwa kutenda Uhalifu wa Kivita dhidi ya Binadamu kwa kipindi cha miezi 23

Umoja wa Mataifa UN umezilaumu pande zinazohasimiana nchini Syria kwamba zote zimehusika na uhalifu wa kivita kutokana na kushiriki kwenye mapigano yaliyochangia mauaji kwa kipindi cha miezi 23.

Close