Wakazi wa mji wa Allepo nchi Syria wameendelea kushuhudia ukatili na machafuko kwa miezi kadhaa ambapo kwa sasa wanakabiliwa na mgogogoro wa kibinadamu kutokana na uhaba wa chakula na nishati ya ...
Makabiliano makali yameendelea kushuhudiwa katika kambi ya wakimbizi wa Palestina jijini Damascus nchini Syria kati ya wafuasi na wapinzani wa rais wa nchi hiyo Bashar Al Assad.
Mwenyekiti wa operesheni za kibindamu kwenye Umoja wa Mataifa Valerie Amos, ameiomba serikali ya Syria, kuyaruhusu mashirika mengine kumi ya misaada ya kibinadamu kufanyakazi nchini Syria wakati ...
Mkuu wa vikosi vya majeshi nchini Iran Generali Hassan Firouzabadi ameionya Uturuki dhidi ya mpango wa kupeleka makombora na wanajeshi katika mpaka wake na Syria, suala ambalo amesema ni mpango wa ...
Wajumbe kutoka zaidi ya mataifa 100 yanayojiita marafiki wa Syria wanakutana mjini Marrakesh nchini Morocco kutambua baraza jipya la upinzani nchini Syria kama wawakilishi wa wananchi wa taifa ...
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Hillary Clinton amepongeza jumuiya ya majeshi ya nchi za kujihami za magharibi NATO kwa hatua ambayo imepiga mpaka sasa katika kuzilinda nchi ...
Rais wa Marekani Barack Obama kwa mara nyingine juma hili ameibuka na kumtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kutotumia silaha za kemikali dhidi ya wananchi wake mwenyewe.
Ikiwa ni nchi ya kwanza ya Ulaya kutambua Baraza la Mapinduzi nchini Syria la SNC, nchi ya Ufaransa imesema kuwa kuna haja sasa ya kuwapatia wapiganaji wa Syria silaha zaidi kujulinda na wanajeshi ...