Mpatanishi wa Mgogoro wa Syria anayetambuliwa na Umoja wa Mataifa UN na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Lakhdar Brahimi ameeleza matumaini yake ya kwamba China inaweza ikasaidia kupatikana kwa suluhu ...
Mgogoro ambao unaendelea nchini Syria umetajwa kuwa mbaya na unaendelea kuleta madhara zaidi kipindi hiki ambacho Televisheni ya taifa nchini humo ikithibitisha watu kumi wamepoteza maisha baada ...
Kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu nchini Syria mapambano ya jana jumanne nchini humo, yamesababisha vifo vya watu thamanini, wakati mapigano yakiendelea kushuhudiwa katika mji wa Allepo ...
Msuluhishi wa kimataifa katika mgogoro wa Syria Lakhtar Brahimi ametowa wito wa kusitisha mapigano nchini Syria wakati wa siku kuu ya kiislam ya Aid al Adha inayo tarajiwa kuadhimishwa mwishoni ...
Serikali ya Uturuki imezuia baadhi ya mizigo kutoka ndege ya shirika la Syria iliyokuwa inatokea urusi kuelekea Damascus ambapo inavichunguza vifaa ambavyo vilikuwa vimebebwa na ndege hiyo.
Waasi nchini Syria wamefanikiwa kuushikilia maeneo muhimu kwenye mji wa Allepo hatua inayoelezwa kuwa ni pigo kwa vikosi vya serikali ambavyo vimekuwa vikijaribu kuurejesha kwenye hiamaya yake mji ...
Watu kadhaa wameuawa hii leo nchini Syria baada ya kufanyika mashambulizi mawili ya kujitoa mhanga katika kambi moja ya jeshi la usalama mjini Harasta kaskazini Mashariki mwa mji mkuu wa nchi hiyo ...
Watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu la kujitoa muhanga uliotokea nje ya makao makuu ya Polisi mjini Damascus Syria.
Majeshi ya Kenya KDF yakiwa chini ya mwamvuli wa Vikosi vya Umoja wa Afrika Vinavyolinda Amani nchini Somalia AMISOM yanaendelea na operesheni zao kuhakikisha wanaimarisha ulinzi katika Mji wa ...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekashifu shambulizi la Syria nchini Uturuki lililosababisha vifo vya watu watano mjini Akcakale, shambulizi ambalo baraza hilo linasema linatishia ...