Syndicate content
Bashar Al Assad
Wapiganaji wa Jeshi Huru la Syria ambao wanashiriki kwenye mapambano ambao nao wanaweza wakawa kwenye orodha ya wale wanaotenda makosa ya uhalifu
17/09/2012 - SYRIA-USWISS

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutetea Haki za Binadamu UNHRC kutoa orodha ya waliotenda uhalifu wa kivita nchini Syria

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutetea Haki za Binadamu UNHRC linatarajiwa kutoa orodha ya watu ambao wanatajwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kivita nchini Syria kipindi hiki ambacho vita ...

Mjumbe wa amani wa Umoja wa mataifa UN nchini Syria Lakdar Brahimi akiwa katika mazungumzo na raisi Bachar Al Assad
16/09/2012 - SYRIA

Brahimi akutana na raisi wa Syria Assad,aonya machafuko kutishia amani ya kanda ya mataifa ya kiarabu na dunia

Mjumbe wa amani kutoka umoja wa mataifa Lakhdar Brahimi ametoa onyo kali baada ya kukutana na raisi wa syria Bashar Al Assad kuhusu kuendelea kwa mgogoro nchini syria.

Maeneo ya jiji la Aleppo
13/09/2012 - Syria

Waasi wa Syria wajiapiza kurjesha kwenye himaya yao ngome yao ya Aleppo

Waasi nchini Syria wanapambana na Majeshi ya Serikali ya Rais Bashar Al Assad wamejiapiza kuendelea na mapambano ili wairejeshe kwenye himaya yao ngome kubwa ya kijeshi ya Hanano iliyopo katika ...

wapiganaji wa jeshi huru la Syria
11/09/2012 - Syria

Msuluhishi katika mgogoro wa Syria Lakhtar Brahimi akiri hali ni tete katika mji wa Aleppo

Mapigano makali yameendelea kushuhudiwa katika Jiji la Aleppo ambapo Waasi kupitia Jeshi Huru la Syria wamejinadi kuwaua wanajeshi ishirini wa serikali kipindi hiki ambacho Msuluhishi wa Mgogoro ...

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa,Ban Ki Moon ni miongoni mwa washiriki wa mkutano wa mataifa yasiyofungamana na upande wowote unaofanyikia Tehran  Iran
27/08/2012 - IRAN

Ulinzi waimarishwa Tehran kufuatia mkutano mkuu wa mataifa yasiyofungamana na upande wowote

Zaidi ya askari laki moja wametawanywa maeneo mbalimbali nchini Iran hususan katika mji mkuu wa Tehran kuhakikisha ulinzi na usalama unakuwepo katika kipindi chote cha mkutano wa dunia wa mataifa ...

Moja kati ya mitaa mjini Damascus iliyokumbwa na mashambulizi
27/08/2012 - SYRIA

Waasi wa Syria waitungua ndege ya jeshi la serikali mjini Damascus

Jeshi huru la waasi nchini syria limedai kuitungua ndege ya kijeshi inayomilikiwa na majeshi ya serikali ya raisi Assad,shambulio ambalo limesababisha kifo cha rubani wa ndege hiyo.

26/08/2012 - Syria

Bashar Al Assad kupambana na njama za kigeni dhidi ya nchi yake kwa thamani yoyote

Rais wa Syria Bashar Al Assad amethibitisha kuwa utawala wake utashinda kwa thamni yoyote  dhidi ya njama za kigeni zinaelekewa kwa nchi yake, huku aukisema kwamba wananchi wa Syria ...

21/08/2012 - SYRIA-MAREKANI

Tishio la Obama lapuuzwa na serikali ya Syria

Mapambano makali yanaendelea nchini Syria katika mji wa Aleppo huku pande zote mbili za upinzani na serikali zikijigamba kusonga mbele katika uwanja wa vita.

17/08/2012 - SYRIA

Umoja wa Mataifa waamua kuwaondoa waangalizi wake nchini Syria

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwaondoa waangalizi wake nchini Syria kufikia siku ya Jumapili.

16/08/2012 - SYRIA

Mauji zaidi yaripotiwa mjini Allepo nchini Syria

Ndege za kivita za Syria zimeshambulia makaazi ya watu katika eneo la Azaz mjini Allepo  na kusababisha kuuawa kwa zaidi ya watu thelathini wakiwemo watoto,huku mashirika ya kutetetea haki za ...

Close