Syndicate content
Ligi Kuu Nchini Uingereza
20/08/2012 - Uingereza

Ndoto za Manchester United zaota mbawa, yachapwa 1-0 na Everton Ligi Kuu ya Uingereza

Ndoto za timu ya Manchester United jana ziliota mbawa baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya klabu ya Everton.

Fabrice Muamba.
03/08/2012 - Uingereza

Fabrice Mwamba kuanza tena mazoezi

Fabrice Muamba, amerejea tena kucheza soka baada ya kuanguka na kupoteza fahamu katika mchezo wa ligi kuu nchini Ungereza na timu ya Bolton Marchi 17 mwaka huu.

Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu wa 2011/2012 manchester City
18/06/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Ratiba ya Ligi kuu ya Uingereza msimu wa 2012/2013 yatangazwa

Ratiba ya msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Backlays Premier League imetolewa hii leo na chama cha soka nchini humo FA ambapo kwa mujibu wa kalenda itaanza kutimua vumi kuanzia ...

Mchezaji wa Manchester City, Carlos Tevez akiwa na kocha wako, Roberto Mancini
15/05/2012 - Uingereza

Manchester City yamuomba radhi Alex Ferguson

Timu ya Manchester City imemuomba radhi Kocha wa Manchester United ,Alex Ferguson baada ya mchezaji wa Man Cuty, Carlos Tevez kuonesha ishara ya kumkejeli Ferguson wakati wa Shamrashamra za baada ...

Kushoto kocha wa Man Utd, Alex Furgeson, katikati kocha wa QPR Mark Hughes, kulia kocha wa Man City, Roberto Mancin
07/05/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Bingwa wa ligi kuu ya Uingereza kufahamika Juma lijalo

Ligi kuu nchini Uingereza imeendelea mwishoni mwa juma na kushuhudia vinara wawili wa ligi hiyo wanaolinga kwa alama Manchester united na Manchester City zikipata ushindi kwenye mechi zao na hivyo ...

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney akifunga goli dhidi ya Manchester City lililochaguliwa kuwa goli bora katika misimu 20 ya Ligi Kuu Uingereza
04/05/2012 - UINGEREZA

Goli la Wayne Rooney lashinda Tuzo ya Goli Bora katika misimu 20 ya Ligi Kuu Nchini Uingereza

Goli la Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uingereza anayekipiga katika Klabu ya Manchester United Wayne Rooney limeshinda na kuwa goli bora katika kipindi cha misimu 20 tangu Ligi Kuu Nchini Uingereza ...

Mshambuliaji wa Newcastle United Papiss Cisse akishangilia goli lake la kwanza kwenye mchezo dhidi ya Chelsea
03/05/2012 - UINGEREZA

Newcastle yakichakaza Chelsea kwenye mbio za kugombea nafasi nne za juu nchini Uingereza

Newcastle United imejiweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kugombea nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Nchini Uingereza ili iweze kushiriki Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya msimu ujao baada ya ...

Nahodha wa Manchester City Vincent Kompany akipiga kichwa mbele ya beki wa Manchester United Chris Smalling na kuipa ushindi timu yake
01/05/2012 - UINGEREZA

Manchester City yakaribia kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Nchini Uingereza baada ya kuifunga Manchester United

Goli la Nahodha wa Manchester City Vincent Kompany katika mchezo dhidi ya Manchester United lilitosha kuwapa ushindi na hivyo kukaribia kutwaa Ubingwa msimu huu iwapo watashinda michezo yao miwili ...

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney pamoja na Mchezaji wa Manchester City Mario Balootelli
30/04/2012 - UINGEREZA

Manchester City kukabiliana na Manchester United kuamua nani atakuwa Bingwa wa Ligi Kuu

Ligi Kuu nchini Uingereza inatarajiwa kuendelea usiku wa leo ambalo mahasimu wawili Manchester United ambao wanaongoza ligi watakuwa kibaruani dhidi ya wapinzani wao wa jadi Manchester City ambao ...

Mshambuliaji wa Arsenal Robin Van Persie
24/04/2012 - Ligi kuu Uingereza

Robin Van Persie achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka

Mchezaji wa timu ya Arsenal Robin van Persie amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka katika tuzo inayotolewa na Chama cha Wacheza soka ya Kulipwa- PFA.Mshambuliaji huyo wa Arsenal mwenye umri ...

Close