Syndicate content
Ligi Kuu Nchini Uingereza
wachezaji wa Manchester United
23/04/2012 - Kombe la Uingereza

Manchester United yalazimishwa sare ya mabao 4-4 na Everton

Everton yailazimisha Manchester United sare ya mabao 4-4 katika mpambano wa kusisimua hasa dakika za mwisho kwenye uwanja wa Old Trafford.

Roberto Martinez kocha mkuu wa Wigan akifurahia ushindi wa timu yake
17/04/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Arsenal yaangukia pua kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Wigan

Ligi kuu nchini Uingereza imeendelea siku ya jumatatu kwa kushuhudia mchezo mmoja pekee ukipigwa kwenye dimba la Emarates kati ya wenyeji Arsenal waliowakaribisha vijana wa Wigan Athletics.

Mchezaji wa Man Utd Ashley Young akianguka ndani ya eneo la hatari, penalty ambayo ilizua utata
16/04/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Man Utd yaendelea kung'ang'ania kileleni mwa ligi kuu ya Uingereza

Ligi kuu ya nchini Uingereza imeendelea kushika kasi na sasa kinyang'anyiro kimebaki kwa timu mbili za Manchester City na Manchester United kuwania ubingwa wa ligi ya Uingereza.

03/04/2012 - UINGEREZA

Ferguson aeleza siri ya ushindi, awasifu Valencia na Young

Kocha wa Manchester United ya Uingereza Sir Alex Fugerson ameelezea furaha yake baada ya kupata ushindi katika mchezo wa mabao 2-0 dhidi ya Blackburn, hiyo jana.

02/04/2012 - Uingereza

Kocha wa Liverpool hafikirii kujiuzulu licha ya timu yake kususua

Kocha wa Klabu ya Uingereza ya Liverpool Kenny Dalglish hatajiuzulu pamoja na timu yake kususua katika ligi kuu ya Uingereza na kombe la FA.

Fabrice Mwamba
26/03/2012 - Ligi kuu Uingereza

Hali ya afya ya mchezaji wa Bolton Fabrice Mwamba yaendelea kuimarika

Ma Dactari wa Hospitali ya Chest Hospital nchini Uingereza wamethibitisha kuwa hali ya Afya ya mchezaji Fabrice Mwamba wa timu ya Bolton alieanguka uwanjani siku nane zilizopita yaendelea ...

21/03/2012 - Uingereza

Manchester City kutafuta uongozi wa ligi ya soka nchini Uingereza

Manchester City inacheza na Chelsea katika mechi ya soka ya  klabu bingwa nchini Uingereza Jumatano usiku, mchuano ambao unaangaziwa utaamua ikiwa Manchster City watakuwa katika nafasi bora ...

20/03/2012 - Uingereza

John Terry kukosa mchuano wa Chelsea dhidi ya Manchester City

Nahodha wa klabu ya soka ya Chelsea nchini Uingereza John Terry atakosa mchuano wa ligi kuu nchini humo  dhidi ya Manchester City katika uwanja wao wa nyumbani wa Etihad Jumatano hii.

Kikosi cha Manchester City
12/03/2012 - Uingereza

Roberto Mancini aonesha matumaini ya kunyakua Kombe la michuano ya ligi kuu Uingereza

Kocha wa Manchester City, Roberto Mancini ana matumaini makubwa kuwa watakuwa mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza, lakini amesema kuwa mechi tatu walizozibakiza zitathibitisha nafasi yao katika ligi ...

Kocha Rafa Benitez anayepewa nafasi kubwa ya kuifundisha klabu ya Chelsea
06/03/2012 - UINGEREZA

Kocha Rafa Benitez apewa nafasi kubwa ya kukinoa kikosi cha Chelsea

Ikiwa zimepita siku mbili toka klabu ya Chelsea imfukuze kocha wake mkuu Andre Villa Boas kufuatia kipigo cha bao moja kwa nunge mwishoni mwa juma toka kwa klabu ya Westbrownch Albion, klabu hiyo ...

Close