Syndicate content
Ligi Kuu Nchini Uingereza
Mchezaji wa Man Utd Wyne Rooney akiifungia timu yake bao la kwanza dhidi ya Tottenham
05/03/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Manchester United yaendelea kuwafukuzia kwa karibu mahasimu wao Man City

Ligi kuu ya nchini Uingereza imeendelea kuwa ngumu na isiyotabirika huku vigogo viwili Manchester United na Manchester City wakiendelea kuchuana kileleni mwa ligi hiyo wakitofautiana kwa alama ...

Kocha wa Chelsea Andre Villas-Boas akiwa na mchambuliaji wake Didier Drogba kabla ya mchezo wao na Napoli wa Ligi ya Mabingwa nchini Italia
28/02/2012 - UINGEREZA

Kocha wa Chelsea Villas-Boas akiri mustakabali wake upo mashakani Stamford Bridge

Kocha Mkuu wa Klabu ya Chelsea Andre Villas-Boas amekiri hadharani anahofu huenda tajiri wa timu hiyo Mrusi Roman Abramovich akamtimua iwapo atashindwa kupata mafanikio ambayo yamekuwa ndoto huko ...

Kocha wa Arsenal Arsen Wenger
20/02/2012 - Michezo-Arsenal

Arsene Wenger akosolewa baada ya Arsenal kuondolewa kwenye ligi ya FA

Kufuatia kuondolewa kwa timu ya Arsenal katika michuano ya kombe la FA siku ya Jumamosi, Ikiwa ni miaka saba ya mafanikio bila kushinda kombe hilo ,Kocha wa timu hiyo Arsenal Wenger amekosolewa ...

Nahodha wa timu ya Taifa ya Uingereza, John Terry akiwa kwenye moja ya mazoezi ya timu yake
03/02/2012 - UINGEREZA

John Terry avuliwa unahodha wa timu ya taifa ya Uingereza

Chama cha soka nchini Uingereza FA kimetangaza kumvua rasmi unahodha wa timu ya taifa ya Uingereza beki wa kati wa timu ya Chelsea na timu ya taifa ya nchi hiyo John Terry kufuatia mchezaji huyo ...

Mchezaji wa Arsenal Robin Van Persie akijaribu kufunga goli dhidi ya Bolton, timu hizo zilitoka sare ya 0-0
02/02/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Arsenal yaendelea kuvutwa shati katika ligi kuu ya Uingereza

Ligi kuu ya nchini Uingereza imeendelea kushika kasi wakati huu ambapo imeingia katika mzunguko wake wa pili huku baadhi ya timu zikianza kuonyesha nia kutaka kutwaa ubingwa wa ligi hiyo pamoja na ...

Mchezaji Darron Gibson akiifungia bao timu yake ya Everton dhidi ya Man City
01/02/2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Manchester City na Manchester United wakabana koo kileleni mwa ligi kuu ya Uingereza

Ligi kuu nchini Uingereza imeendela usiku wa kuamkia Jumatano na kushuhudia vinara wa ligi hiyo Manchester City wakipoteza mchezo wao dhidi ya Everton na kuwafanya walingane pointi na majirani zao ...

24/01/2012 - UINGEREZA

Chama Cha Soka Nchini Uingereza FA kumfungia Balotelli michezo minne

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia ambaye anakipiga katika Klabu ya Manchester City Mario Balotelli ameingia matatani na huenda Chama Cha Soka nchini Uingereza FA kikamsimamisha kucheza michezo ...

23/01/2012 - UINGEREZA

Manchester United na City waendelea kupambana kwenye mbio za Ubingwa nchini Uingereza

Klabu ya Manchester United ilifanikiwa kupunguza tofauti ya pointi na kusalia pointi tatu dhidi ya vinara Manchester City baada ya kufanikiwa kuifunga Arsenal kwenye Uwanja wake wa nyumbani ...

Luis Suarez (kulia) na Patrice Evra (kushoto)
22/12/2011 - UINGEREZA

Klabu ya Liverpool yaeleza kutoridhishwa na adhabu aliyopewa mchezaji wake Luis Suarez

Chama cha soka nchini Uingereza FA hatimaye kimetoa adhabu kali kwa mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Luis Suarez baada ya kumkuta na hati ya kutoa matamshi ya kibaguzi dhidi ya mchezaji wa ...

David Silva akishanglia bao alilofunga, akipongezwa na Sergio Aguero
19/12/2011 - LIGI KUU YA UINGEREZA

Manchester City yaendelea kukalia usukani wa Ligi kuu ya Uingereza

Klabu ya Manchester City ya nchini Uingereza hatimaye imefanikiwa kurejea kileleni mwa ligi hiyo baada ya nafasi hiyo kushikiliwa kwa muda na mahasimu wao manchester United.

Close