Mkwaju wa penalty wa Kiungo wa Kimataifa wa Uingereza Frank Lampard ulitosha kuwapa ushindi Klabu ya Chelsea na kusitisha rekodi ya kipekee ambayo ilikuwa nayo Manchester City ya kutopoteza mchezo ...
Klabu ya Chelsea ya Uingereza mwishoni mwa juma imeendeleza uteja wake kwa klabu ya Liverpool baada ya kukubali kichapo cha magolo mawili kwa moja wakiwa nyumbani katika dimba la stamford ...
Mshambuliaji mahiri wa klabu ya Manchester City, Carlos Tevez anatarajiwa kuripoti katika mazoezi ya klabu hiyo leo hii Jumatano licha ya kuwepo wasiwasi kuwa hatarejea kwa muda unaotakiwa.
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Argentina anayekipiga katika Klabu ya Manchester United Carlos Tevez anatarajiwa kumshtaki Meneja wa Timu hiyo Roberto Mancini kwa kosa la kumkashfu kwa mujibu wa ...
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Nchini Uingereza Klabu ya Manchester United imeshuhudia ikipata kichapo kikali zaidi kuwahi kutokea wakiwa nyumbani katika Uwanja wa Old Trafford tangu wafungwe mwaka ...
Kocha Mkuu wa Arsenal Arsene Wenger amekiri Timu yake imeshajiondoa kwenye kinyang'anyiro cha mbio za Ubingwa baada ya kuwa nyuma kwa pointi kumi na mbili nyuma ya vinara wa Ligi Kuu nchini ...
Kocha wa klabu ya soka ya Uingereza Manchester United Alex Ferguson amemuunga mkono kocha wa Manchester City Roberto Mancini juu ya namna anavyoshughulikia suala la mchezaji arlos Tevez aliyegoma ...
Dirisha la Usajili Barani Ulaya limefungwa rasmi usiku wa jana na kushuhudia Klabu ya Washika Bunduki Arsenal ya Nchini Uingereza ikifanikiwa kuchukua wachezaji wanne katika dakika za lala salama ...
Ligi kuu ya nchini Uingereza inatarajiwa kuendelea kutimua vumbi wikiendi hii kwa kushuhudia miamba mbalimbali ikishuka viwanjani huku tayari vijogoo vya jiji Liverpool wakikalia usukani wa Ligi ...