Syndicate content
Ligi Kuu Nchini Uingereza
Les trois joueurs d'Arsenal : Sagna, Clichy et Nasri (de gauche à droite).
24/08/2011 - Ligi kuu ya Uingereza

Arsenal kupambana na Udinese

Kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha wake Arsene Wenger kitakuwa na kibarua kigumu hii leo cha kusaka nafasi ya kutinga katika hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya watakapokipiga ...

Wachezaji  Joey Barton et Gervinho wakishikana mashati wakati wa mechi baina ya Newcastle-Arsenal.
14/08/2011 - Uingereza

Matokea mbalimbali ya ligi kuu ya Uingereza

Newcastle imetoka sare ya 0-0 na Arsenal katika mchezo uliokuwa na kasoro za hapa na pale.

Cesc Fabregas
12/08/2011 - Uingereza-Michezo

Arsenal kuwakosa wachezaji wake Fabregas na Nasri

Wachezaji wawili wa timu ya Arsenal ambao ni Cesc Fabregas ambae amekubali kujilipia sehemu ya pesa ilioombwa na club yake na kufuta deni alilokuwa akidai kutoka Arsenal ilimradi tu aondoke na ...

Wesley Sneijder.
13/07/2011 - Italia-Uingereza

Inter Milan yakana kupokea ombi la kutaka kumnunua Wesley Sneijder

Kiongozi wa kiufundi wa klabu ya Inter Milan ya Italia Marco Branca amesisItiza kuwa uongozi wa klabu hiyo haujapata ombi lolote rasmi la kutaka kumuuza kiungo wake wa kati Wesley Sneijder ...

23/06/2011 - Ligi kuu ya Uingereza

Andre Villas Boas kocha mpya wa Chelsea atangaza kuendeleza kasi yake katika klabu hiyo

Muda mfupi baada ya kuwasili Chelsea, Villas Boas alisema anataka kuendelea na kasi yake aliokuwa nayo na timu ya Porto na kushinda vikombe.

Andre Villas-Boas, meneja mpya wa Chelsea
22/06/2011 - London-Ungereza

Chelsea ya mtangaza Andre Villas-Boa kama Meneja mpya wa timu hiyo

Klabu ya Chelsea Imemtangaza kocha wa zamani wa Porto Andre Villas-Boas kuwa meneja wake mpya.

Kocha mpya wa Chelsea, Andre Villas Boas
22/06/2011 - UINGEREZA

Klabu ya Chelsea yamtangaza Andre Villas-Boas kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo

Hatimaye uongozi wa klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza umemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa FC Porto ya Ureno Andre Villas-Boas kuwa kocha mkuu mpya wa matajiri hao wa London.

Mchezaji wa klabu ya Arsenal, Samir Nasri
06/06/2011 - ARSENAL - NASRI

Samir Nasri: Sina uhakika wa kuendelea kuichezea Arsenal msimu ujao

Kiungo wa kati wa klabu ya Arsenal Samir Nasri amesema hana uhakika wa kuichezea klabu hiyo msimu ujao.

22/05/2011 - LIGI KUU ULAYA

Pazia la Ligi kuu ya Uingereza kuhitimishwa hii leo

Pazia la ligi kuu mbalimbali za mpira wa miguu barani ulaya litakuwa linafungwa leo kwa timu zinazoshiriki ligi kuu kucheza mechi zao za kukamilisha ratiba huku baadhi ya nchi tayari mabingwa ...

Makao makuu ya Klabu ya Liverpool ya Uingereza
12/05/2011 - UINGEREZA

Dalglish atwaa nafasi ya Ukocha wa kudumu katika Klabu ya Liverpool

Kenny Dalglish amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Liverpool “Vijogoo vya Jiji” baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu yake hiyo ya zamani ambayo aliitumika ...

Close