Klabu ya soka ya Manchester City imepata kipigo cha bao1-0 toka kwa Wigan Athletic katika mechi ya fainali ya kombe la FA iliyopigwa jumamosi hii kwenye dimba la Wembley.
Ushindani umeendelea kuwa mkali katika kusaka nafasi ya tatu na ya nne kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza kwa timu tatu kuendelea kuchuana vikali baada ya Chelsea na Tottenham kumaliza mchezo wao ...
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kuweka kibindoni tiketi yake ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya kufuatia ushindi wa goli moja kwa nunge mbele ya West Bromwich Albino.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uholanzi Robin Van Persie ameiwezesha klabu ya soka ya Uingereza Manchester United kutwaa ubingwa wa 20 wa ligi kuu ya soka ya nchini Uingereza.
Kocha wa klabu ya soka ya Uingereza ya Manchester United Alex Ferguson amekanusha uvumi kuwa mshambulizi matata wa klabu hiyo Wayne Rooney yupo njiani kuhamia klabu ya Ufaransa ya Paris ...
Manchester United huenda wakanyakua ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza wiki ijayo ikiwa wapinzani wao wa karibu Manchester City watapoteza mchuano wao dhidi ya Tottenham Hotsours ...
Manchester City na Wigan FC watamenyana katika mchuano wa ligi kuu nchini Uingereza kabla ya kuchuana katika fainali ya kombe la FA mwezi ujao katika uwanja wa Wembley.
Kocha wa Klabu ya Arsenal nchini Uingereza Arsene Wenger amewaambia wachezaji wake kuendelea kutia bidii ili kumaliza msimu huu wa soka kati ya nne bora.
Kocha wa klabu ya soka ya Arsenal, Arsene Wenger amesema bado hajakata tamaa hata kama kikosi chache hakijashika nafasi miongoni mwa timu nne zinazoshika nafasi ya juu katika ligi ya mabingwa ...
Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson amemgeukia Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uholanzi anayekipiga katika timu yake Robin Van Persie kutokata tamaa licha ya kucheza micheo ...