Syndicate content
Manchester United
Kocha Mkuu wa Manchester United Sir Alex Ferguson akiwa na mrithi wake David Moyes
10/05/2013 - UINGEREZA-SOKA

Manchester United kumpa David Moyes mkataba wa miaka sita kuinoa timu hiyo kurithi mikoba ya Sir Ferguson

Klabu ya Manchester United imefanikiwa kumtangaza mrithi wa Sir Alex Ferguson aliyetangaza kustaafu kazi ya kukinoa kikosi hicho mwishoni mwa msimu huu baada ya kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka ...

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney akishangilia goli alilofunga dhidi ya Liverpool
09/05/2013 - UINGEREZA-SOKA

Manchester United yakanusha uvumi uliozagaa ya kwamba Wayne Rooney atauzwa mwishoni mwa msimu huu

Klabu ya Manchester United imepuuzilia mbali uvumi uliozagaa ya kwamba Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uingereza anayekipiga katika timu hiyo Wayne Rooney atauzwa mwishoni mwa msimu huu.

Mshambuliaji wa Tottenham Gylfi Sigurdsson akifunga goli la kusawazisha dhidi ya Chelsea
09/05/2013 - UINGEREZA-SOKA

Mchuano wa kusaka nafasi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya wazidi baada ya Chelsea kutoka sare na Tottenham

Ushindani umeendelea kuwa mkali katika kusaka nafasi ya tatu na ya nne kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza kwa timu tatu kuendelea kuchuana vikali baada ya Chelsea na Tottenham kumaliza mchezo wao ...

Kocha wa Manchester Unites Sir Alex Ferguson akiwa na mataji aliyoshinda siku zilizopita
08/05/2013 - UINGEREZA-SOKA

Kocha wa Manchester United Sir Ferguson kubwaga manyanga kuinoa Timu hiyo mwishoni mwa msimu huu

Kocha Mkuu wa Manchester United Sir Alex Ferguson ametangaza ataachia wadhifa wake mwishoni mwa msimu huu baada ya kukinoa kikosi hicho kwa kipindi cha miaka 26 na kuipa mataji 13 ya Ligi Kuu ...

Kocha wa Mpito wa Cheslea Rafa Benitez anakiri timu yake inanafasi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya
06/05/2013 - UINGEREZA-UEFA

Kocha wa Chelsea Rafael Benitez anaamini timu yake itafuzu kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya msimu ujao

Kocha wa Mpito wa Chelsea Rafael Benitez anaamini wamekaribia kupata tiketi ya kushiriki kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya ...

04/05/2013 - UINGEREZA

Alex Ferguson awataka wachezaji wake kuwa huru katika mechi za ligi kuu ya Uingereza zilizosalia

Meneja wa klabu ya soka ya Manchester United sir Alex ferguson amewataka wachezaji wake kuwa uhuru zaidi katika mechi za ligi kuu ya soka ya nchini Uingereza zilizosalia msimu huu kwani tayari ...

23/04/2013 - SOKA

Mabao ya Van Persie yaipaisha Manchester United

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uholanzi Robin Van Persie ameiwezesha klabu ya soka ya Uingereza Manchester United kutwaa ubingwa wa 20 wa ligi kuu ya soka ya nchini Uingereza.

19/04/2013 - SOKA

Ferguson akanusha uvumi kuwa Wayne Rooney anaelekea Paris Saint-Germain

Kocha wa klabu ya soka ya Uingereza ya Manchester United Alex Ferguson amekanusha uvumi kuwa mshambulizi matata wa klabu hiyo Wayne Rooney yupo njiani kuhamia klabu ya Ufaransa ya Paris ...

18/04/2013 - SOKA

Manchester United waomba City kufungwa mchuano mmoja ili wajihakikishie ubingwa

Manchester United huenda wakanyakua ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza wiki ijayo ikiwa wapinzani wao wa karibu Manchester City watapoteza mchuano wao dhidi ya Tottenham Hotsours ...

16/04/2013 - Soka

Manchester City na Wigan kumenyana kabla ya fainali ya kombe la FA

Manchester City na Wigan FC watamenyana katika mchuano wa ligi kuu nchini Uingereza kabla ya kuchuana katika fainali ya kombe la FA mwezi ujao katika uwanja wa Wembley.

Close