Syndicate content
Mohamed Moalim
Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid al-Moallem (Kushoto) akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran  Ali Akbar Salehi(kulia)
09/08/2012 - IRAN-SYRIA

Tehran yaandaa mkutano wa nchi 29 marafiki wa Syria ambao hawaungi mkono vikwazo dhidi ya Syria

Nchi ya Iran hii leo imeandaa mkutano wa mataifa ishirini na tisa marafiki wa Syria, mkutano unaolenga kutafuta suluhu ya mgogoro wa Syria na kusitishwa kwa umwagaji damu nchini humo.

Rais wa Somalia Sharif Sheikh Ahmed amenusurika kifo kwenye shambulizi lililolenga msafara wake wakati akizuru Afgoye
29/05/2012 - SOMALIA

Rais wa Somalia Ahmed anusurika kifo baada ya Al Shabab kushambulia msafara wake akiwa ziarani Afgoye

Rais wa Somalia Sharif Sheikh Ahmed amenusurika kifo baada ya Kundi la Wanamgambo wa Al Shabab kutekeleza shambulizi lililolenga msafara wake lakini Maofisa wa serikali wamethibitisha amefanikiwa ...

Close