Syndicate content
Sudani
Katibu mkuu wa CECAFA Nicolas Musonye
21/05/2013 - SOKA

Droo ya vilabu vya soka kanda ya CECAFA yatolewa

Mabingwa watetezi wa taji la Kagame katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA Yanga ya Tanzania imejumuishwa katika kundi la tatu pamoja na Express ya Uganda,Ports ya Djibouti na Vitalo la ...

29/04/2013 - SUDANI

Waasi Sudan sasa watangaza kulenga jimbo la Kordofan Kaskazini

Waasi wa Sudan wametangaza kuwa rasmi kuwa wanalilenga jimbo la Kordofan Kaskazini kama njia ya kujihami na kujilinda dhidi ya majeshi ya serikali huku wakijipanga kusonga mbele.

 

Kiongozi wa Jeshi la uasi, LRA, Joseph Kony
26/04/2013 - Sudani

Sudani yanyooshewa kidole kuwa imempa Makazi Kiongozi wa Waasi wa LRA, Joseph Kony

Sudan imenyooshewa kidole kuwa imekuwa ikimpatia hifadhi Kiongozi wa Jeshi la waasi wa Lord's Resistance Army LRA Joseph Kony, Ripoti ya Shirika moja nchini Marekani imeeleza.

Rais wa Sudan Omary Bashir akiwa na rais wa Sudani Kusini Salva Kiiri
25/04/2013 - Sudani

Marekani yatangaza kumpokea Mjumbe wa Somalia ili kujadili Mustakabali wa Amani ya Sudani

Marekani iko tayari kumpokea Mjumbe wa juu kutoka nchini Sudan ikiwa ni harakati za kushawishi kutekelezwa kwa mpango wa amani wa nchi hiyo.

Rais wa Sudani Omar Hassan Al Bashir,anayetafutwa na Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita, ICC
24/04/2013 - Sudani

Kiongozi wa Waasi wa Darfur nchini Sudan auawa

Kiongozi wa Waasi katika Jimbo la Darfur,nchini Sudan Saleh Jerbo aliyeshtakiwa na mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita, ICC ameuawa mjini humo, Waasi na kikosi chake cha ulinzi ...

20/04/2013 - SUDANI

Ban Ki Moon alaani mauaji ya askari wa kulinda amani jimboni Dahfur

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki-Moon amelaani mauaji ya askari mmoja wa kikosi cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika cha kulinda amani katika jimbo la Dahfur nchini Sudani.

17/04/2013 - SUDAN

Wanajeshi saba wa Sudan waliohukumiwa jela kwa jaribio la kuipindua serikali ya Bashir waachiliwa huru

Wanajeshi saba nchini Sudan waliohukumiwa jela miaka mitano kwa kupanga jaribio za kumpindua kijeshi rais Omar Al Bashir wameachiliwa huru siku chache baada ya kuhukumiwa jela.

msemaji wa jeshi la Uganda Felix Kulayigye
10/04/2013 - SUDANI-UGANDA

Serikali ya Khartoum yashusha lawama kwa majeshi ya Uganda kuwaunga mkono waasi

Jeshi la Uganda la UPDF kwa mara nyingine tena limekanusha shutuma kutoka Serikali ya Khartoum kuwa linawaunga Mkono Waasi wanaopambana na serikali ya rais Omar al Bashir wenye kuwa na lengo la ...

Waziri wa Maendeleo ya kimataifa wa Uingereza, Lynne Featherstone
07/04/2013 - SUDAN-UINGEREZA-QATAR

Uingereza yaahidi msaada zaidi ili kuiimarisha serikali ya Sudan

Uingereza imeahidi pesa za ziada kwa serikali ya Darfur katika miaka mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kusaidia watu wa Sudan kuwa na uwezo wa kujitegemea, ahadi hiyo imetolewa katika mkutano wa ...

Wafungwa wa Kisiasa wakiachiwa nchini Sudan baada ya kushikiliwa katika Gereza la Kober
02/04/2013 - SUDAN

Serikali ya Sudan imewaachia huru wafungwa sita wa kwanza wa kisiasa waliokuwa wanashikiliwa katika Gereza la Kober

Mamlaka nchini Sudan imewaachia wafungwa sita wa kisiasa waliokuwa wanashikiliwa katika gereza la Kober ikiwa ni mwanzo wa utekelezaji wa agizo lililotolewa na Rais Omar Hassan Al Bashir ...

Close