Nchini Uganda Vyombo vya habari nchini humo vimefungwa na Jeshi la Polisi linalofanya msako wa kutaka kupata nyaraka zinazotaja uwepo wa njama za kutaka kuuawa kwa Viongozi wa Kijeshi, Serikali ya ...
Mwanadada raia wa Uingereza na mcheza Tennis nambari moja Laura Robson anatarajia kumkabili bingwa wa zamani wa mchezo huo Caroline Wozniacki katika mzunguko wa awali wa michuano ya French Open ...
Polisi nchini Uingereza wamefanikiwa kuwakamata washukiwa wengine wawili zaidi kuhusiana na tukio la kushambuliwa na kuuawa kikatili kwa mwanajeshi wake mjini London ambapo makachero wa Uingereza ...
Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suala la amani kati ya israel na palestina linapewa kipaumbele wakati huu ambapo a,ekutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin ...
Wakuu wa usalama nchini Uingereza wamefanya mkutano kujadili mauaji ya kikatili dhidi ya mwanajeshi wa Uingereza,ambayo yalitekelezwa na Watu wawili wanaodaiwa kuwa ni waislamu wenye msimamo ...
Marekani na Uingereza wameendeleza shinikizo kwa Urusi ili iweze kushirikiana nao katika kuhakikisha wanapata suluhu ya mgogoro wa Syria huku msimamo wa mataifa hayo ukiwa wazi kwamba ni lazima ...
Klabu ya soka ya Manchester City imepata kipigo cha bao1-0 toka kwa Wigan Athletic katika mechi ya fainali ya kombe la FA iliyopigwa jumamosi hii kwenye dimba la Wembley.
Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia watuhumiwa kumi na wawili wanaotajwa kuhusika kutekeleza shambulizi la bomu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Parokia ya Olasiti ...
Mkutano wa kuisaidia nchi ya Somalia wafanyika nchini Uingereza na kuzileta pamoja nchi 50 pamoja na Mashirika ya Kimataifa lengo likiwa ni kushiriki kwenye juhudi za kuijenga upya nchi hiyo baada ...