Syndicate content
Umoja wa Mataifa UN
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon asisitiza operesheni dhidi ya uasi kuanza haraka mashariki ya jamuhuri ya demokrasia ya Congo.
22/05/2013 - DR Congo-Umoja wa mataifa UN

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa UN Ban Ki Moon ahimiza operesheni za kijeshi kuharakishwa mashariki ya DRC.

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa UN, Ban Ki Moon amesisitiza kuharakishwa kwa operesheni ya kijeshi ya vikosi maalumu vya Umoja wa mataifa kukabiliana na uasi mashariki mwa jamuhuri ya demokrasia ...

Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa na waziri wa mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov
17/05/2013 - SYRIA

Umoja wa mataifa na Urusi kuitisha mkutano wa haraka kuhusu Syria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon na Urusi zimekubaliana kwamba mkutano wa amani kuhusu Syria lazima ufanyike haraka iwezekanavyo hata kama Urusi inapinga shinikizo la dunia kwamba ...

Waziri wa zamani wa Kenya Mukhisa Kituyi
16/05/2013 - KENYA

Waziri wa zamani wa Kenya ateuliwa kuongoza taasisi ya biashara ya umoja wa mataifa

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon amemteua waziri wa zamani wa Kenya na mbunge Mukhisa Kituyi kuongoza taasisi ya biashara na maendeleo ya umoja huo UNCTAD wakati mkuu wa taasisi hiyo ...

Wananchi wakihama kuhofia kimbunga
16/05/2013 - Bangladeshi

Maelfu wahamishwa Bangladesh na Myanmar kufuatia hofu ya kimbunga cha Mahasen

Maelfu ya raia wa Bangladesh na Myanmar wameendelea kuhama katika maeneo ya pwani kufuatia hofu ya kimbunga cha Mahasen chenye kasi ya zaidi ya kilometa 100 kwa saa kinachotarajiwa kuikumba pwani ...

Walinda amani wa umoja wa matifa nchini Sudani Kusini (UNMISS)
14/05/2013 - Sudani

Walinda amani wa umoja wa mataifa waonya kuhusu hali mbaya ya usalama katika jimbo la Jonglei Sudani Kusini

Walinda amani wa Umoja wa Mataifa wameonya kwamba ghasia na uporaji katika mji wa Pibor kwenye jimbo lenye mgogoro la Jonglei huko Sudan Kusini zimeendelea kuwa mbaya huku kukiwa na mapigano ya ...

12/05/2013 - TANZANIA-DRC

Wanajeshi wa Tanzania wawasili DRC kukabiliana na waasi

Kundi la kwanza la wanajeshi 100 toka nchini Tanzania limewasili jumamosi hii katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC katika mpango wa amani wa Umoja wa Mataifa UN wa ...

Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi bendera Kiongozi wa Batalioni inayoelekea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani
09/05/2013 - TANZANIA-DRC-UMOJA WA MATAIFA

Kikosi cha Tanzania chaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa UN

Kikosi cha kwanza cha Wanajeshi wa Tanzania kinachoenda Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani na kukabiliana na Makundi ya Waasi kinaondoka siku ya alhamisi kikiwa na ...

Waathiriwa wa ugonjwa wa kipindupindi nchini Haiti wakiwa kwenye makambi wakipata huduma
09/05/2013 - HAITI-UMOJA WA MATAIFA

Waathirika wa Ugonjwa wa Kipindupindu nchini Haiti kuufungulia kesi Umoja wa Mataifa UN kama utashindwa kuwalipa fidia

Waathirika wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Haiti wametoa siku sitini pekee kwa Umoja wa Mataifa UN kuanzisha mazungumzo nao juu ya kuwalipa fidia ya mabilioni ya dola na iwapo watashindwa ...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergie Lavrov
08/05/2013 - URUSI-SYRIA-MAREKANI

Lakhdar Brahimi apongeza uamuzi wa Marekani na Urusi kufikia makubaliano ya kumaliza umwagaji wa damu nchini Syria

Mpatanishi wa Mgogoro wa Syria anayetambuliwa na Umoja wa Mataifa UN na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Lakhdar Brahimi amepokea kwa mikono mawili makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Urusi ya ...

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud akiwa na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron kwenye mkutano unaofanyika London
07/05/2013 - SOMALIA-UINGEREZA

Rais wa Somalia Sheikh Mohamud aiomba Jumuiya ya Kimataifa kuisaidia nchi yake ili ijijenga upya baada ya vita vya zaidi ya miongo miwili

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema taifa hilo haliwezi kuendelea iwapo halitaungwa mkono vya kutoshja na Jumuiya ya Kimataifa kipindi hiki wakianza kujijenga upya baada ya kupitia vita ...

Close