Viongozi wa Mashtaka nchini Ufaransa wamemhoji Mkurugenzi Mkuu wa shirika la fedha duniani IMF Christine Lagarde kwa tuhuma za ufisadi alipokuwa waziri wa fedha nchini humo.
Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa suala la amani kati ya israel na palestina linapewa kipaumbele wakati huu ambapo a,ekutana na waziri mkuu wa Israel Benjamin ...
Wakuu wa usalama nchini Uingereza wamefanya mkutano kujadili mauaji ya kikatili dhidi ya mwanajeshi wa Uingereza,ambayo yalitekelezwa na Watu wawili wanaodaiwa kuwa ni waislamu wenye msimamo ...
Mataifa ya magharibi yamemtaka rais wa Syria Bashar al-Asad kuhakikisha anashiriki kwenye suluhu ya kupata amani nchini humo na kuonya kuwa iwapo atashindwa kuzungumza kuhusu kuundwa kwa serikali ...
Rais wa timu ya soka ya Napoli Aurelio De Laurentiis amekutana na kocha wa muda wa klabu ya Chelsea Rafael Benitez katika jitihada za kumshawishi kuiongoza klabu ya Serie A taarifa kutoka nchini ...
Wacheza Tennis Rafael Nadal na Serena Williams wamewaonya wapinzani wao Roger Federer na Victoria Azarenka kujipanga vizuri kuelekea katika mashindano ya French Open kwa kuwa wao ndio ...
Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametaka mataifa ya Ulaya kuhakikisha yanasimama kidete kumaliza tatizo la ajira ambalo limezikumba nchi hizo sambamba na kuangalia hatua za kuimarisha uchumi wa ...
Jeshi la Mali limeanzisha operesheni zake katika maeneo yanayodaiwa kuwa ngome madhubuti za makundi ya Kiislamu hasa kwenye Mji wa Kidal unaotajwa kuwa sehemu ya wapiganaji wa Kundi la MNLA.
Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema anavithibitisho kwamba majeshi ya serikali ya Syria yanatumia silaha zenye kemikali dhidi ya majeshi ya upinzani.
Nchi ya Mali imeomba kwa wafadhili wa kimataifa hususan umoja wa ulaya EU takribani yuro bilioni 2.6 kusaidia kujenga upya nchi na kujaribu kuzuia kurejea kwa wapiganaji waasi ambao walifukuzwa ...
Serikali ya Syria imetishia kujibu mara moja mashambulizi yote mapya ambayo yatafanywa na ndege za kijeshi za Israeli kauli inayokuja baada ya nchi hiyo kutekeleza mashambulizi mawili yaliyolenga ...
Mpatanishi wa Mgogoro wa Syria anayetambuliwa na Umoja wa Mataifa UN na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Lakhdar Brahimi amepokea kwa mikono mawili makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Urusi ya ...
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema taifa hilo haliwezi kuendelea iwapo halitaungwa mkono vya kutoshja na Jumuiya ya Kimataifa kipindi hiki wakianza kujijenga upya baada ya kupitia vita ...
Mkutano wa kujadili na kusaidia ustawi na kudumishwa kwa amani nchini Somalia unaanza hii leo ambapo nchi hamsini zinashiriki pamoja na Taasisi zisizo za Kiserikali katika Mkutano unaofanyika ...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye pia mtuhumiwa wa machafuko ya baada ya uchaguzi wa Kenya wa mwaka 2007 katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC amealikwa na Uingereza kushiriki ...
Raia wa Ufaransa aliyeshukiwa kuwa mfuasi wa kundi la kigaidi baada ya kuonekana katika picha ya Video akiionya Ufaransa juu ya uvamizi wake nchini Mali, amekamatwa na Vikosi vya Ufaransa ...
Wananchi wa uholanzi hii leo wanashuhudia kusimikwa rasmi kwa mwana mfalme wa Malikia Beatrix, Willem-Alexander kama mfalme mpya wa taifa hilo katika sherehe za kihistoria.
Mwanajeshi wa Sita kutoka Ufaransa ameuawa jana katika milima ya Ifoghas, wakati gari lililokuwa linawasafirisha kuelekea kwenye maeneo ya kaskazini mwa Mali lilipokanyaga bomu za kutegwa ...