Pata taarifa kuu
KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014

Wasifu wa Timu ya Taifa ya Bosnia and Herzegovina

Timu ya taifa ya Bosnia and HerzegovinaInashiriki kwa mara ya kwanza katika michuano hiii na inaorodheshwa ya 25 duniani.

Wachezaji wa timu ya taifa ya Bosnia wakishangilia moja ya mabao waliyofunga wakati wa michuano ya kufuzu kucheza kombe la dunia Brazil 2014
Wachezaji wa timu ya taifa ya Bosnia wakishangilia moja ya mabao waliyofunga wakati wa michuano ya kufuzu kucheza kombe la dunia Brazil 2014 fifa.com
Matangazo ya kibiashara

Wachezaji wa kuangaliwa

Washambulizi Edin Dzeko na Vedad Ibisevic, Viungo wa kati Miralem Pjanic and Zvjezdan Misimovic, Beki Emir Spahic na Kipa Asmir Begovic. Hawa ni wachezaji chipukizi ambao wanafanya vizuri katika ligi za soka barani Ulaya.

Kocha mkuu

Safet Susic – Raia wa Bosnia na aliwahi pia kuchea soka nchini humo amekuwa kocha tangu mwaka 2009.

Wachezaji waliovuma

Vahid Halilhodic, Hasan Salihamidzic, Safet Susic

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.