Habari RFI-Ki
Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania waendelea licha ya kutakiwa kurudi kazini na Serikali
Imechapishwa:
Cheza - 10:12
Mtangazaji wa makala hii, hii leo ameangazia sakata la mgomo wa wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili ulioenea nchi nzima na kuleta athari kwa wananchi ambao wanategemea huduma za madaktari.