Tanzania: watu 7 wauawa kufuatia imani za kishirikina
Watu saba wameuawa kinyama kwenye kijiji cha Murufiti, wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, nchini Tanzania, baada ya kundi la watu kuwavamia, kuua na kuchoma moto miili yao kwasababu za kishirikina.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 02:59