Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais wa Ufaransa E.Macron barani Afrika, usalama mashariki ya DRC, ushoga nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:13
Ziara ya rais wa Ufaransa kwenye nchi nne za Afrika wiki hii, uchaguzi mkuu wa urais nchini Nigeria ambao ulimpa ushindi Bola Tinubu, msimamo wa serikali ya Kenya kuhusu ushoga, hali ya usalama wa mashariki ya DRC, lakini pia ziara ya rais wa Uganda Yoweri Museveni nchini Afrika kusini, pamoja na juhudi za kimataifa katika kuisaidia Ukraine, ni miongoni mwa mengi utakayoyasikia