Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Kuapishwa kwa rais Felix Tshisekedi jumamosi, Rwana na UK njia panda bado

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia kuhusu kuapishwa rais wa DRC Félix Tshisekedi baada Mahakama ya katiba  kuidhinisha ushindi wake katika uchaguzi wa desemba 20, viongozi wa nchi wananchama wa IGAD walikutana jijini Kampala huku wakitoa wito wa kusitishwa mapigano Sudan, waziri mkuu wa Uingereza Richy Sunak na mpango wa kuwasafirisha waomba hifadhi huko Rwanda.

Felix Tshisekedi (kushoto) - Moïse Katumbi (kulia)
Felix Tshisekedi (kushoto) - Moïse Katumbi (kulia) © Photo/montage RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.