Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kuapishwa kwa rais Felix Tshisekedi jumamosi, Rwana na UK njia panda bado
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Makala hii imeangazia kuhusu kuapishwa rais wa DRC Félix Tshisekedi baada Mahakama ya katiba kuidhinisha ushindi wake katika uchaguzi wa desemba 20, viongozi wa nchi wananchama wa IGAD walikutana jijini Kampala huku wakitoa wito wa kusitishwa mapigano Sudan, waziri mkuu wa Uingereza Richy Sunak na mpango wa kuwasafirisha waomba hifadhi huko Rwanda.