Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
SADC kupeleka wanajeshi DRC, miili 150 yafukuliwa nchini Kenya na mengineyo
Imechapishwa:
Cheza - 20:16
Makala hii imeangazia kuhusu maafa yaliyosababishwa na mafuriko wilayani Kalehe DRC, pia hatua ya jumuia ya SADC kusaidia juhudi za upatikanaji wa amani ya mashariki mwa DRC, miili zaidi yafukuliwa nchini Kenya, hali ya nchini Sudan,pamoja na mambo mengine yaliyojiri katika eneo la Afrika magharibi na kwengineko duniani.