Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

SADC kupeleka wanajeshi DRC, miili 150 yafukuliwa nchini Kenya na mengineyo

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia kuhusu maafa yaliyosababishwa na mafuriko wilayani Kalehe DRC, pia hatua ya jumuia ya SADC kusaidia juhudi za upatikanaji wa amani ya mashariki mwa DRC, miili zaidi yafukuliwa nchini Kenya, hali ya nchini Sudan,pamoja na mambo mengine yaliyojiri katika eneo la Afrika magharibi na kwengineko duniani.

Marais wa nchi wanachama wa Muungano wa SADC, Mei 8, nchini Namibia.
Marais wa nchi wanachama wa Muungano wa SADC, Mei 8, nchini Namibia. © @SADC_News
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.