Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wafanyabiashara wa Kariakoo Tanzania wakutana na waziri mkuu, hali Sudan yatisha
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Katika makala ya Yaliyojiri wiki Hii, tunaangazia baadhi ya habari kuu za dunia matukio ya wiki hii katika miongoni ikiwa ni pamoja na mgomo wa wafanyabiashara katika soko la kimataifa la Kariakoo jijini Daresalaam nchini Tanzania, DRC na Rwanda zilikubaliana kutengeneza mazingira kwa wakimbizi wa pande zote kurejea makwao, Hali ya kisiasa na nchini Sudan, lakini pia yaliyojiri katika eneo la Afrika magharibi na Mkutano wa G7 huko Japani ni miongoni mwa mengi utayasikia