Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mkutano wa 78 wa umoja wa mataifa, rais wa DRC aitaka Monusco kuondoka DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Makala hii imeangazia hotuba za viongozi wa Afrika katika baraza la Umoja wa mataifa huko Newyork Marekani,rais wa zamani wa jamhuri ya Afrika ya kati ahukumiwa kifungo cha maisha jela, Ecowass na hali ya nchini Niger, ziara ya Mfalme wa 3 wa Uingereza nchini Ufaransa lakini kiongozi wa Kanisa katoliki Papa Francis kule Marseilla Ufaransa, na mengine mengi.