Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Kifo cha rais wa zamani wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, hali ya usalama DRC na mengineyo

Imechapishwa:

Yaliyojiri wiki hii ni pamoja na kifo cha rais wa zamani wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, na kauli za rais Felix Tshisekedi kuwa yuko tayari kwa mazungumzo na rais mwenza wa Rwanda Paul Kagame, ziara ya waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed nchini Tanzania na pia Kenya, maandamano ya chama cha upinzani cha Chadema nchini Tanzania kule Arusha, yaliyojiri nchini Rwanda, kwenye kanda ya Afrika magharibi lakini pia hali ya Israeli na kwengineko duniani.

Jeneza la Rais mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia Februari 29, 2024 jijini Daresalaam, Tanzania akiwa na umri wa miaka 98.
Jeneza la Rais mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia Februari 29, 2024 jijini Daresalaam, Tanzania akiwa na umri wa miaka 98. © Ikulu Dodoma
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.