KENYA - SIASA
Mtikisiko ndani ya chama tawala nchini Kenya
Chama tawala nchini Kenya Jubilee kinaendelea kupata mtikisiko, baada ya uongozi wa chama hicho kumwondoa katika nafasi yake, naibu katibu mkuu Caleb Kositany kwa tuhuma za ukiukaji wa maadili.Mwanahabari Benson Wakoli amezungumza na naibu katibu mkuu huyo wa zamani akiwa jijini Nairobi nchini kenya.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 10:01