Pata taarifa kuu
KOMBE LA KAGAME-PAUL KAGAME-SOKA

Robo fainali ya Kagame Cup kuunza kuunguruma leo, Dar

Hatua ya robo fainali ya Kombe la Kagame inaanza leo kwa michezo miwili kuchezwa.

Katibu Mkuu wa Cecafa, Nicholaus Musonye ambaye ni msimamizi mkuu wa michuano ya Kagame
Katibu Mkuu wa Cecafa, Nicholaus Musonye ambaye ni msimamizi mkuu wa michuano ya Kagame The Standard
Matangazo ya kibiashara

Mchezo wa kwanza utawakutanisha mabingwa wa Kenya Gor Mahia ambao watachuana na mabingwa wa Uganda Vipers saa kumi kwa saa za Afrika mashariki.

Robo fainali ya pili itakuwa baina ya Simba ya Tanzania dhidi ya AS Sports ya Djibout.

Michuano hiyo itafiki tamati Julai 13 kwa mchezo wa fainali ambapo bingwa atazawadiwa dola 30,000 zinazotolewa na mdhamini wa michuano hiyo na rais wa Rwanda, Paul Kagame.

 

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.