CECAFA-SOKA
Ratiba ya michuano ya CECAFA yajulikana
Droo ya michuano ya soka kuwania taji la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame imetolewa kuelekea michuani hiyo itakayonaza jinni Dar es salaam nchini Tanzania Agosti 1.
Imechapishwa:
Dakika 1
Matangazo ya kibiashara
Kundi A
KCCA FC-Uganda
Le Messager Ngozi-Burundi
KMKM FC-Zanzibar
Kundi B
Azam FC-Tanzania
Atlabara FC-Sudan Kusini
Tusker FC-Tanzania
Kundi C
Yanga FC-Tanzania
Nyaza Big Bullet-Malawi
Express FC-Uganda
Mechi ya ufunguzi, itakuwa kati ya KCCA FC vs KMKM SCkatika uwanja wa Chamazi.