ULAYA-SOKA
UEFA yaachana na mpango wa kuzichukulia hatua klabu za Juventus na Real Madrid
Shirikisho la soka barani Ulaya, linasema limeachana na harakati za kuichukulia hatua za kisheria klabu za Barcelona, Juventus na Real Madrid kwa kuendelea kujihusisha na mpango wa uundwaji wa ligi mpya, iliyopewa jina European Super League.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Klabu nyingine tisa, ziliamua kujiondoa kwenye mpango huo, baada ya UEFA kuonya kuzichukulia hatua kwa kile ilichosema, ligi hiyo itaharibu soka barani Ulaya.
Hii imekuja baada ya Mahakama mjini Madrid kuiambia UEFA kuwa, isiadhibu klabu hizo tatu.