UBELGIJI-UHISPANIA-USALAMA-SOKA
Mchuano kati ya Ubelgiji na Uhispania waahirishwa kwa sababu za kiusalama
Mechi ya kirafiki kati ya Ubelgiji na Uhispania ambayo ingelichezwa leo Jumanne jijini Brussels imeahirishwa kwa sababu za kiusalama, baada ya mashambulizi ya Paris, Shrikisho la Soka la Ubelgiji limetangaza
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Shirikisho hili limesema katika taarifa yake kwamba limechukua uamzi huo kutokana na ushauri wa serikali ya Ubelgiji.
Polisi za Ubelgiji na Ufaransa zimekua zikimasakaza kwa dhati mtu anaye shukiwa kuhusika katika mashambulizi yaliosababisha vifo vya zaidi ya watu 130 mjini Paris, Ijumaa iliopita.