Wachezaji Atletico Madrid na mkufunzi wao wapatikana na virusi vya Corona
Kocha wa klabu ya Atletico Madrid nchini Uhispania, Diego Simeone na mshambuliaji Antoine Griezmann wamepatikana na maambukizi ya Covid-19.
Imechapishwa:
Wawili hao ni miongoni mwa watu watano waliopatikana na virusi hivyo pamoja na Koke, Hector Herrera pamoja Joao Felix ambao wamejitenga.
Wapinzani wao Barcelona nao pia wamethibitisha kuwa, visa vitatu vimeripotiwa katika kambi yao, na kufikisha idadi ya wachezaji ambao wameammbukizwa kufikia tisa.
Miongoni mwa wachezaji hao ni pamoja na Sergino Dest, Philippe Coutinho and Abde Ezzalzouli join the list of players infected, the club said, after Ousmane Dembele, Clement Lenglet, Samuel Umtiti, Jordi Alba, Gavi and Dani Alves tested positive.