Pata taarifa kuu
SUDANI KUSINI-KIIR-MACHAR-MAZUNGUMZO-USALAMA

Mazungumzo ya amani Sudani Kusini yaendelea

Mazungumzo ya amani kuhusu nchi ya Sudan Kusini, yapo katika dakika za lala salama jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.

Kiongozi wa waasi, Riek Machar (kulia) na rais wa Sudani Kusini, Salva Kiir (kushoto) Mei 9 mwaka 2014. Lakini, rais wa Sudani Kusini  na mpinzani wake, hawakusiriki katika mazungumzo ya amani, Addis Ababa, Ethiopia.
Kiongozi wa waasi, Riek Machar (kulia) na rais wa Sudani Kusini, Salva Kiir (kushoto) Mei 9 mwaka 2014. Lakini, rais wa Sudani Kusini na mpinzani wake, hawakusiriki katika mazungumzo ya amani, Addis Ababa, Ethiopia. REUTERS/Goran Tomasevic
Matangazo ya kibiashara

Alhamisi wiki hii, rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar wanatarajiwa kutia saini mkataba wa amani na kuunda serikali ya pamoja, wakati huu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likitipisha azimio la kuwawekea vikwazo viongozi hao ikiwa mkataba huo utavunjika.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.