Serikali ya Kenya yatiwa hofu na homa ya ini Mombasa
Serikali ya kaunti ya Mombasa nchini Kenya imeripoti kuzuka kwa mkurupuko wa maambuzi ya homa ya ini au Hepatitis A na kuwatahadharisha wakazi wa kaunti hiyo kuwa makini kutokana na maradhi hayo.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 01:57